Ili
kukusaidia nataka kukupa tabia chache za wanaume wenye mapenzi ya
kisanii. Kutokana na uzoefu ninaoupata katika kushuhulikia matatizo ya
watu ya mahusiano na saikolojia, nimegundua kuwa wengi wanaolengwa na
athari za tabia hizi ni wale wanaoingia au walioko katika mahusiano na
wanaume wenye ndoa zao.
Tabia ya kwanza:
Daima ni watu wanaoepuka sana kutoa au hata kupokea zawadi, niwajanja sana katika hali ambayo wanakushawishi kujua kwamba hivi ndivyo walivyoumbwa, kwamba wako tayari kufanya mambo makubwa ya kimapenzi lakini sio vizawadi lakini ukweli ni kwamba wanaepusha mazingira ambayo yaweza kufanya washtukiwe na wake zao au mpenzi mwingine wa pembeni. Unajua katika zawadi mengi yaweza kutokea, wengine wamekamatwa na risiti za vitu walivyonunua, wengine wameulizwa hilo shati ulinunua lini? au hayo manukato mbona siyajui, yametoka wapi? Kwahiyo kuwa macho sana unapoona ishara hii kwa mpenzi wako.
Chris Mauki.
Inaendelea
Endelea kufuatilia blog hii, kwa mambo mengi zaidi gonga hapa click here
Tabia ya kwanza:
Daima ni watu wanaoepuka sana kutoa au hata kupokea zawadi, niwajanja sana katika hali ambayo wanakushawishi kujua kwamba hivi ndivyo walivyoumbwa, kwamba wako tayari kufanya mambo makubwa ya kimapenzi lakini sio vizawadi lakini ukweli ni kwamba wanaepusha mazingira ambayo yaweza kufanya washtukiwe na wake zao au mpenzi mwingine wa pembeni. Unajua katika zawadi mengi yaweza kutokea, wengine wamekamatwa na risiti za vitu walivyonunua, wengine wameulizwa hilo shati ulinunua lini? au hayo manukato mbona siyajui, yametoka wapi? Kwahiyo kuwa macho sana unapoona ishara hii kwa mpenzi wako.
Chris Mauki.
Inaendelea
Endelea kufuatilia blog hii, kwa mambo mengi zaidi gonga hapa click here
0 comments:
Post a Comment